Maelezo ya picha, Kaaba, eneo takatifu zaidi kwa waumini wa Dini ya Kiislamu, ni jengo la mawe lililofunikwa kwa pazia jeusi, lililopambwa kwa dhahabu. 17 Februari 2026 Muda wa kusoma: Dakika 7 ...
Dokta Saleh bin Zainul Abedin Al Shebi, mtunzaji wa funguo za Kaaba ama Al-Kaaba, eneo takatifu zaidi kwa Waislamu, amefariki dunia. Inaaminika familia yake ilipata ufunguo huu wakati wa Mtume ...